Daraja la Barabara za Juu Kijazi Interchange kama linavyoonekana pichani mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulifungua leo tarehe 24 Februari 2021. PICHA NA IKULU
RAIS MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA JUU LA UBUNGO (KIJAZI INTERCHANGE) JIJINI DAR ES SALAAM
Matokeo ChanyA+
February 24, 2021
MKOA WA DAR ES SALAAM
880 Imeonekana