Maktaba ya Kila Siku: May 20, 2024

KAMPUNI ZA TANZANIA NA CHINA KUSHIRIKIANA KWA PAMOJA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UJENZI

Tanzania na China zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja kwa kuyawezesha Makampuni ya Tanzania kupewa sehemu ya kazi za ujenzi kutoka kwa Makampuni ya Kichina yatakayopewa kazi ya kutekeleza miradi ya ujenzi nchini. Makubaliano hayo yamefikiwa leo Mei 20, 2024 …

Soma zaidi »