Maktaba ya Kila Siku: May 31, 2024

Kongamano la Wadau wa Mazingira – (NEMC) 31 Mei 2024 (VIDEO)

Kongamano la wadau wa mazingira lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kufanyika tarehe 31 Mei 2024, katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam. Kongamano hili linakusudia kuleta pamoja wadau mbalimbali kujadili njia bora za kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini Tanzania. Mada kuu zitakazojadiliwa ni …

Soma zaidi »