Serikali Inachochea Matumizi Mbadala Ya Nishati Kwa Faida Ya Mazingira Na Afya Za Watanzania.

Katiba inaweka wajibu kwa serikali kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wote. Hivyo, serikali inachochea matumizi mbadala ya nishati kwa faida ya mazingira na afya za Watanzania.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Taifa Bw. Murshid Hashim Ngeze mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 39 wa ALAT uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *