Maktaba ya Kila Siku: June 11, 2024

RAIS SAMIA AWEKA MSISITIZO KATIKA MAGEUZI YA KUKUA KIUCHUMI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kuweka msisitizo juu ya muendelezo wa mageuzi katika Mashirika na Taasisi za Umma kwa lengo la kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi katika Taifa letu la Tanzania kwa manufaa ya Taifa na Watanzania wote kwa ujumla. Rais …

Soma zaidi »

Na Haya Ni Maboresho Makubwa katika Sekta ya Afya Nchini Tanzania

Nchi yetu inajivunia hatua kubwa tunazoendelea kupiga kwenye eneo hili ambapo pamoja na maboresho na ujenzi, sasa kila Hospitali ya Rufaa ya Kanda inatoa huduma ya MRI na kila Hospitali ya Rufaa ya Mkoa inatoa huduma ya CT scan. Shukrani hizi toka mkoani Kagera kutokana na maboresho makubwa yanayoendelea katika …

Soma zaidi »