Maktaba ya Kila Siku: June 14, 2024

BAJETI KUU YA SERIKALI 2024-2025 KATIKA SEKTA MBALIMBALI ZA KIMAENDELEO NCHINI TANZANIA 

Msamaha wa Kodi kwa Trekta za Kilimo  Kuingiza trekta lenye ekseli moja kwenye wigo wa zana na vifaa vya kilimo vinavyopata msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ni hatua muhimu katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Marekebisho haya yanalenga kuboresha miundombinu ya kilimo na kufanya vifaa vya kisasa …

Soma zaidi »