Maktaba ya Kila Siku: June 15, 2024

WANANCHI WAIPONGEZA SERIKALI KUFANIKISHA UJENZI BARABARA YA BUGENE-KASULO-KUMUNAZI 

Wakazi wa Kijiji Cha Nyakahanga wilayani Karagwe Mkoani Kagera wameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha ujenzi wa miundombinu ya barabara pamoja na madaraja. Wameipongeza Wizara ya Ujenzi Kupitia Wakala ya Barabara Tanzania -TANROADS kwa kuwajengea barabara inayounganisha …

Soma zaidi »