Maktaba ya Kila Siku: June 16, 2024

Serikali Yaandaa Mpango wa Mageuzi ya Sekta ya Mifugo ili Kukuza Ufugaji wa Kisasa Nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa Serikali imeandaa mpango wa mageuzi ya sekta ya mifugo ambao utasaidia kupunguza changamoto zinazokabili sekta hiyo nchini. Dkt. Biteko alitoa wito kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kubuni mbinu na mikakati ya kuondokana na ufugaji usio na …

Soma zaidi »

Rais Samia Asherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika Pamoja na Wajukuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu wake katika Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Juni. Katika maadhimisho haya, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa Serikali, familia, na jamii kwa …

Soma zaidi »