Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta utepe pamoja na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusikuashiria uzinduzi wa Mwandoro Square katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.
MatokeoChanya
July 3, 2024
Tanzania MpyA+
157 Imeonekana