Mlele Yafaidika na Ziara ya Rais Dkt. Samia, Kwa Kuunganishwa Na Umeme Kutoka gridi ya Taifa, …

Ziara ya Mhe Rais , Imekuwa ziara ya Mafanikio Makubwa kwa Mkoa wa Katavi, Hasa kwenye Maswala ya Utekelezaji na usambazi wa umeme kutoka gridi ya Taifa, Maswala ya Ardhi na Juhudi Kubwa ya Serikali Katika Sekta ya Ujenzi hasa Ujenzi wa Barabara.Ziara ya Mhe Rais , Imekuwa ziara ya Mafanikio Makubwa kwa Mkoa wa Katavi, Hasa kwenye Maswala ya Utekelezaji na usambazi wa umeme kutoka gridi ya Taifa, Maswala ya Ardhi na Juhudi Kubwa ya Serikali Katika Sekta ya Ujenzi hasa Ujenzi wa Barabara.
Ad

Unaweza kuangalia pia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimfariji Katibu wa NEC (Uchumi na Fedha) wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. Frank Hawassi kufuatia kifo cha Mke wake Bi. Damaris Hawassi wakati alipowasili kushiriki msiba huo Miyuji Jijini Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *