RAIS SAMIA AZINDUA MIRADI YA MABILIONI RUKWA NA KUTANGAZA RUZUKU YA MBEGU NA MBOLEA KWA WAKULIMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amehitimisha kwa kishindo ziara yake ndani ya Mkoa wa Rukwa kwa kuzindua, kuweka mawe ya msingi pamoja kukagua miradi ya mabilioni ya shilingi itakayonufaisha mamilioni ya wananchi wa mkoa wa Rukwa na mikoa jirani kiuchumi na kijamii pamoja na kuridhia kuanzia msimu ujao wa kilimo kuweka ruzuku katika mbegu za mahindi na mbolea.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Taifa Bw. Murshid Hashim Ngeze mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 39 wa ALAT uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *