Maktaba ya Kila Siku: July 27, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Wolfgang Pisa

Mhashamu Wolfgang Pisa pia ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi, alipowasili wilayani Ruangwa kwa ajili ya Harambee ya Ujenzi wa Kanisa na maandalizi ya Jubilei ya miaka 25 ya Upadre wa Mhashamu Askofu Wolfgang na miaka 50 ya Upadre wa Mhashamu Askofu Bruno Ngonyani, ambaye ni Aksofu Mstaafu wa …

Soma zaidi »

AMIRI JESHI MKUU WAKATI WOWOTE ULE ANAWEZA AKATENGENEZA TIMU YAKE ILI KUWALETEA USHINDI WATANZANIA

Amiri Jeshi Mkuu, katika nafasi yoyote ile, ana uwezo wa kutengeneza timu imara inayoweza kuwaletea ushindi wananchi wake. Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, ameonyesha mfano bora wa jinsi ya kufanya hivyo Rais Samia amekuwa akiteua viongozi wenye sifa, uzoefu, na maadili mema katika nyadhifa mbalimbali …

Soma zaidi »