Maktaba ya Kila Siku: August 2, 2024

RAIS SAMIA AZINDUA DARAJA LA BEREGA KILOSA, WANANCHI WAPONGEZA JUHUDI ZA MIUNDOMBINU NA UCHUMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 02 Agosti 2024, amezindua rasmi Daraja la Berega, Wilayani Kilosa, mkoani Morogoro. Daraja hili, lenye urefu wa mita 150 na upana wa mita 10, limejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 12 na linatarajiwa kurahisisha usafiri na …

Soma zaidi »

WANANCHI WILAYANI KILOSA WAISHUKURU SERIKALI KWA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA

Wananchi wa Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wameonyesha shukrani zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuzindua Daraja la Berega. Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 02 Agosti, 2024, katika ziara ya kikazi ya Rais Samia mkoani Morogoro. Daraja hili muhimu limekuwa ni …

Soma zaidi »

Shukrani za Madeleva Bajaji kwa Rais Samia na Serikali kwa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR

Morogoro, Tanzania – Madeleva bajaji wa mkoani Morogoro wameeleza shukrani zao za dhati kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali kwa ujumla kwa juhudi kubwa za ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR. Reli hii, ambayo imekuwa mojawapo ya miradi mikubwa ya maendeleo nchini, imeleta manufaa mengi kwa wananchi na …

Soma zaidi »

Mtalii Raia wa Sweden Avutiwa na Ubora wa Treni ya Kisasa ya SGR Nchini Tanzania

“Ni treni ya kisasa kabisa na tunajisikia vizuri (‘comfortable’) kutumia aina hii ya usafiri. Ina mwendo wa kasi iko ‘comfortable’ na ina huduma nzuri wakati wa safari. Kitu kizuri na cha kufurahisha zaidi, ni treni nzuri zaidi kuzidi hata zile za kwetu nyumbani Ulaya ( Sweden) treni hii ni nzuri …

Soma zaidi »