Mazingira bora ni urithi wa thamani ambao tunao jukumu la kuutunza na kuuhifadhi kwa ajili ya vizazi vya sasa na vijavyo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 27, inatambua na kusisitiza wajibu wa kila raia kulinda na kutunza mazingira.

Katiba ya Tanzania na Wajibu wa Kulinda Mazingira, Ibara ya 27 ya Katiba inasema wazi kuwa kila mtu ana wajibu wa kulinda mali ya umma na mali ya pamoja ambayo ni pamoja na maliasili na mazingira. Hii ina maana kuwa, ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha kwamba ardhi, misitu, maji, na maliasili nyingine zinalindwa na kutumika kwa njia endelevu ili kuzihakikishia vizazi vijavyo urithi huu muhimu.

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Ad
Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tusikubali Kuwa Tarumbeta za Watu Wasio Tutakia Mema”

“Tusikubali kuwa tarumbeta za Watu wasio tutakia mema, Maadili Yetu Mazuri Ya Kitanzania Lazima Tuyatunze, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *