Maktaba ya Kila Siku: August 16, 2024

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania katika ziara maalumu ya kuboresha mahusiano nchini Cuba

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania iko tayari kushirikiana na Serikali ya Cuba kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha chanjo mbalimbali ikiwemo chanjo ya homa ya ini. Amesema viwanda vya dawa nchini Cuba vikiwemo vinavyotengeneza dawa zinazotokana na mimea tiba vimeiwezesha nchi hiyo kupunguza utegemezi wa kuagiza dawa kutoka …

Soma zaidi »