Maktaba ya Kila Siku: August 28, 2024

MSOMELA MAMBO SAFI, HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZINAPATIKANA, SERIKALI YAWASHIKA MKONO WANANCHI

Kundi la Wamasai kutoka Loliondo, Mkoa wa Arusha, walihamishiwa Kijiji cha Msomela, mkoani Tanga, kufuatia uamuzi wa serikali kuwapangia makazi mapya. Hatua hii imeleta matokeo chanya, huku wakazi wakifurahia huduma mbalimbali za kijamii zinazotolewa kijijini hapo. Baada ya kuhamia Msomela, Wamasai wameweza kupata huduma bora zaidi za afya, elimu, maji …

Soma zaidi »