Maktaba ya Mwezi: August 2024

WANANCHI WATOA SHUKURANI KWA SERIKALI KWA MAENDELEO YA SGR NA UJENZI WA SOKO KUU LA CHIFU KINGALU

Wananchi wa Morogoro wameonyesha shukurani zao kwa serikali kwa juhudi za maendeleo, hasa katika ujenzi wa reli ya SGR na soko kuu la Chifu Kingalu. Ujenzi wa SGR umeleta matumaini mapya kwa wananchi kwa kuboresha miundombinu na usafiri, hivyo kurahisisha shughuli za kibiashara na kuongeza fursa za ajira. Aidha, ujenzi …

Soma zaidi »