Kituo cha Afya Msomera Chatoa Huduma Kamili za Matibabu na Afya kwa Jamii

Dr. Lyidia Bulinga Mganga Mfawidhi Kituo cha Afya Msomera, kituo hiki kinatoa huduma za Matibabu kwa wagonjwa wa nje OPD, huduma za Uzazi na afya ya Mtoto RCH, huduma ya Mama na Mtoto, huduma za CTC kwa wagonjwa wenye maambukizi ya VVU na Huduma za Maabara vipimo vyote.

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tusikubali Kuwa Tarumbeta za Watu Wasio Tutakia Mema”

“Tusikubali kuwa tarumbeta za Watu wasio tutakia mema, Maadili Yetu Mazuri Ya Kitanzania Lazima Tuyatunze, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *