Tanzania yaongeza idadi ya madarasa ya sayansi kufikia zaidi ya 5,000 katika shule za sekondari.

Hii ni sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu ya sayansi na kuwahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi, na hisabati (STEM). Mpango huu unalenga kuboresha miundombinu ya elimu, hususan kwenye masomo ya sayansi ili kuandaa wataalamu wengi zaidi katika nyanja hizo.

Serikali inaendelea na juhudi za kuongeza idadi ya madarasa haya kila mwaka ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi na kuongeza nafasi kwa masomo ya vitendo, ambapo vifaa vya maabara vinahitajika zaidi. Lengo kuu ni kukuza uelewa na ushiriki wa wanafunzi katika fani za sayansi ambazo ni muhimu kwa maendeleo ya kitaifa na kimataifa.

Ad

#NahayaNdiyoMatokeoChanyA+ #KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *