Takwimu ChanyA+ za Utekelezaji wa Miradi ya Maji (2020-2024)

Kufikia mwaka 2025, serikali inalenga kuhakikisha asilimia 85 ya wananchi wa vijijini na asilimia 95 ya wananchi wa mijini wanapata huduma za maji safi na salama. Takwimu hizi zinaonyesha maendeleo makubwa katika sekta ya maji Tanzania, huku juhudi zikiendelea kuhakikisha maji safi yanawafikia wananchi wengi zaidi nchini.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *