
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpangoakimfariji Bi. Kovambo Nujoma ambaye ni mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza na Baba wa Taifa la Namibia hayati Dkt. Sam Nujoma wakati wa Maombolezo ya Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek nchini Namibia leo tarehe 28 Februari 2025

Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+