WAZIRI KAMWELWE APOKEA KIVUKO CHA MV KIGAMBONI Matokeo ChanyA+ June 1, 2020 WIZARA YA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO Acha maoni 1,128 Imeonekana Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amepokea Kivuko cha MV Kigamboni kilichofanyiwa ukarabati mkubwa katika eneo la Kigamboni jijini Dar es salaam. Ukarabati huo umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 1.09. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amepokea Kivuko cha MV Kigamboni kilichofanyiwa ukarabati mkubwa katika eneo la Kigamboni jijini Dar es salaam. Ukarabati huo umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 1.09. Ad Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest