Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, amewaasa wazazi kuacha kuwapa watoto kilevi pindi wanapotoka kwenda katika shughuli zao,amesema hayo mkoani Kigoma akiwa Katika ziara ya kikazi mkoani humo.
MAKAMU WA RAIS AWATAKA WAZAZI KUACHA KUWAPA WATOTO POMBE
Ad