Leo tarehe 30/10/2018 tumeanza kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI inaongezeka na kufikia 9. Idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka 6-8 hadi 20-25 kwa wiki.

TAASISI YA MIFUPA (MOI) IMEANZA KUTUMIA CHUMBA KIPYA CHA UPASUAJI

TAASISI YA MIFUPA MOI
Tarehe 30/10/2018 Taasisi ya Mifupa (MOI) imeanza  kutumia chumba Kipya cha upasuaji kwaajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na Mgongo wazi , idadi ya vyumba vya upasuaji MOI imeongezeka na kufikia 9. Huku idadi ya watoto wanaofanyiwa upasuaji inatarajiwa kuongezeka kutoka sita mpaka nane hadi kufikia 20-25 kwa wiki.
Ad

Unaweza kuangalia pia

HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI, MEI MOSI

Tunawatakia Watanzania wote Heri ya Siku ya Wafanyakazi, Mei Mosi! Ni siku muhimu ya kuenzi …

Oni moja

  1. God Bless Little ones and the Team of Doctors and All concerned party including government of URT for initiating such a facility to benefit all humankind .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *