Matokeo ChanyA+

Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+.

Rais Magufuli amuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bibi Anna Elisha Mghwira Ikulu Dsm

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 06 Juni, 2017 amemuapisha Bibi Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Bibi Anna Elisha Mghwira amejaza nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Saidi Meck Sadiki aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo. Hafla ya kuapishwa kwa …

Soma zaidi »

Rais Magufuli aishukuru Kuwait kwa kutoa Bilioni 110 za barabara ya Nyahua – Chaya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameishukuru Serikali ya Kuwait kwa kutoa mkopo wa Dola za Marekani Milioni 51 sawa na takribani Shilingi Bilioni 110 kwa ajili ya kujenga barabara ya Chaya – Nyahua Mkoani Tabora yenye urefu wa kilometa 85 ambayo itaunganisha mawasiliano …

Soma zaidi »

Rais Magufuli awataka Watanzania kupuuza mjadala wa kuongeza kipindi cha Urais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Januari, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Baada ya mazungumzo hayo …

Soma zaidi »