Matokeo ChanyA+

Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+.

RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA USHONAJI BOHARI KUU YA JESHI LA POLISI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa Kiwanda cha ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi na kufungua Ofisi, Madarasa na Mabweni ya Chuo cha …

Soma zaidi »

RIDHIWANI KIKWETE AMSHUKURU RAIS DK. MAGUFULI KWA UJENZI WA LAMBO LA MIFUGO KIJIJI CHA CHAMAKWEZA -VIGWAZA

Na. Andrew Chale, Chalinze Mbunge Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha za ujenzi wa lambo kubwa kwa ajili ya mifugo ndani ya Kijiji cha Chamakweza Kata ya Vigwaza katika Halmashauri ya Chalinze, lililogharimu Tshs. Milioni 700. Mbunge amebainisha hayo jana …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AWATAKA WATENDAJI WA SERIKALI KUTOA TAARIFA

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watendaji wa Serikali kutoa taarifa za utendaji wa Serikali katika maeneo yao, sambamba na vyombo vya habari kutoandika habari zisizo za ukweli. Rais Magufuli, ameyasema hayo leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI – TRA JIREKEBISHENI KWA KUTENDA HAKI KWA WAFANYABIASHARA

Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasili mtaa. wa Lumumba jijini Dar es salaam kuzindua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studio za Channel Ten Plus,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi Februari 25, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AFUNGUA KITUO KIKUU CHA MABASI YA MIKOANI KILICHOPO MBEZI LUIS JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kufungua Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na Nje ya Nchi kilichopo Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam leo tarehe 24 Februari 2021.Viongozi wengine katika picha ni Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA JUU LA UBUNGO (KIJAZI INTERCHANGE) JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kufungua Daraja la Juu katika Makutano ya Barabara za Ubungo (Kijazi Interchange) Ubungo jijini Dar es Salaam leo tarehe 24 Februari 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta kamba …

Soma zaidi »

DKT. KALEMANI AAGIZA UJENZI WA KITUO CHA UMEME IFAKARA UANZE NDANI YA SIKU KUMI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, amemuagiza mkandarasi, kampuni ya AEE POWER EPC S.A.U kuanza ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme katika Mji wa Ifakara ndani ya siku Kumi, ili kuimarisha hali ya upatikanaji umeme katika Wilaya ya Kilombero pamoja na Ulanga mkoani Morogoro. Dkt.Kalemani ametoa agizo hilo tarehe 23 …

Soma zaidi »

BYABATO: NJOONI MUWEKEZE SINGIDA UMEME UPO WA KUTOSHA

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, amewataka wawekezaji Duniani kote kuja kuwekeza mkoani Singida kwakuwa kuna Umeme mwingi wakutosha na wa uhakika. Alisema hayo alipokuwa akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji mkoani Singida, uliofanyika Februari 23, 2021. Wakili Byabato alisema kuwa, kwa sasa mkoa huo unazalisha umeme …

Soma zaidi »

HALMASHAURI YA CHALINZE YAKABIDHI VITI-MWENDO 10 KWA WATOTO WENYE ULEMAVU

Halmashauri ya Chalinze yakabidhi Viti-Mwendo 10 kwa watoto wenye Ulemavu. Akizungumza kwenye makabidhiano hayo Mbunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete amewashukuru watendaji wa Halmashauri kwa utekelezaji wa maagizo yanayotolewa kwenye vikao. Mbunge Kikwete amepongeza hatua hiyo ya kufikia malengo ya Serikali ya kuhakikisha kila …

Soma zaidi »

NITAUNDA TIMU YA WATAALAMU KUTOKA TAASISI NNE KUCHUNGUZA ATHARI ZA VUMBI DON-BOSCO – UMMY MWALIMU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu kutoka Taasisi nne kuchunguza athari za vumbi linalodaiwa kuathiri wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Don-Bosco katika Jiji la Tanga. Kauli hiyo ameitoa hii mara baada ya kufanya ziara ya kikazi …

Soma zaidi »