CCM

Je, Kila Mtanzania Ana Mchango Gani Katika Ujenzi wa Taifa Letu?

Kwa kujenga uchumi, kuendeleza miundombinu, kukuza sekta za kilimo, viwanda, biashara, na kutoa huduma bora za kijamii, kila Mtanzania ana nafasi na wajibu wa kutoa mchango wake. Kwa mfano, wakulima wanapozalisha mazao bora, wanachangia kwenye usalama wa chakula na mapato ya nchi. Wajasiriamali wanapounda biashara na kuzalisha ajira, wanasaidia kupunguza …

Soma zaidi »

“Tuendelee Kufanya Kazi Na Kuitunza Amani Ya Nchi Yetu.” Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Katiba ya Tanzania, katika Ibara ya 8(1)(a), inatambua kwamba wananchi ndio msingi wa mamlaka yote ya nchi. Hii inamaanisha kuwa amani na utulivu wa nchi ni jukumu la kila mwananchi. Kwa kutunza amani, wananchi wanatimiza wajibu wao wa kikatiba wa kuhakikisha nchi inasalia katika hali ya utulivu na usalama. Katiba …

Soma zaidi »

Shamba La Kahawa La Aviv, Moja Ya Uwekezaji Mkubwa Wa Ukulima Wa Kahawa Nchini.

‘Katika ziara yangu ya kikazi mkoani Ruvuma, leo nimetembelea shamba la Kahawa la Aviv, moja ya uwekezaji mkubwa wa ukulima wa kahawa nchini. Nimeagiza kuendelea kuhakikisha teknolojia inayotumika kwa ufanisi kwenye uwekezaji wa aina hii itumike pia katika kuwapa ujuzi wananchi ili washiriki kikamilifu katika fursa zilizopo. Mbali na ajira, …

Soma zaidi »

Utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta la EACOP, Juhudi za Serikali Chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Mafanikio Yake Hadi Sasa.

Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni mradi wa kimkakati unaolenga kuimarisha sekta ya nishati na uchumi wa Tanzania na Uganda. Bomba hili litakuwa na urefu wa kilomita 1,443 na litatoka Hoima, Uganda, kuelekea bandari ya Tanga, Tanzania. Utekelezaji wa mradi huu umeleta manufaa makubwa katika …

Soma zaidi »

Mchango wa Tamasha la Tatu la Utamaduni Kitaifa kwa Maendeleo ya Kiuchumi, Kijamii, na Kitamaduni kwa Watanzania 

Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililofanyika mkoani Ruvuma ni tukio muhimu linaloleta mchango mkubwa kwa Watanzania kwa njia mbalimbali, kama ifuatavyo: Kuhifadhi na Kukuza Utamaduni Tamasha hili linaongeza uelewa na kuthamini tamaduni za makabila mbalimbali ya Tanzania. Hili ni muhimu kwa kuendeleza na kuhifadhi mila na desturi ambazo …

Soma zaidi »

“UKIMYA WANGU SIO UJINGA, SITAKUWA NA MUHALI KWA YEYOTE ANAYETAKA KUVURUGA AMANI YETU”

“Hatutaruhusu mtu yeyote kuchafua mazingira ya amani na utulivu ambayo yamejengwa kwa miaka mingi. Tutalinda nchi yetu kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa Katiba ya Tanzania inaheshimiwa na kufuatwa na kila mmoja,” ‪@samiasuluhu99‬ Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania

Soma zaidi »