Demokrasia

Shule za Sekondari

Serikali imeendelea kuongeza idadi ya shule za sekondari za kutwa na bweni. Jumla ya vyumba vya madarasa 8,000 vimejengwa tangu mwaka 2022 ili kupunguza msongamano wa wanafunzi. #NahayaNdiyoMatokeoChanyA+ #KaziIemdelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

Katika Uzinduzi Wa Kitabu cha Maisha Na Uongozi Wa Hayati Sokoine

Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Hayati Edward Moringe Sokoine kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024. #KaziIemdelee#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

Mama Samia Katika Uzinduzi Wa Kitabu Cha Maisha Na Uongozi Wa Hayati Moringe Sokoine.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtoto wa hayati Edward Moringe Sokoine, Balozi Joseph Edward Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024. #KaziIemdelee#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

Mradi wa Maji Same -Mwanga-Korogwe , Sio Ndoto Tena!

Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe umefikia asilimia 95.5 ya utekelezaji wake kufikia August 2024. Mradi huo unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 262 na unatarajiwa kuhudumia zaidi ya wakazi 400,000. Kwa Wilaya ya Same, mabomba ya usambazaji maji yamewekwa kwa umbali wa kilomita 17.755, wakati Wilaya ya Mwanga imefikia kilomita …

Soma zaidi »

Jukumu Katika Ujenzi wa Taifa Ni La Kila Mtanzania.

Kwa kujenga uchumi, kuendeleza miundombinu, kukuza sekta za kilimo, viwanda, biashara, na kutoa huduma bora za kijamii, kila Mtanzania ana nafasi na wajibu wa kutoa mchango wake. Kwa mfano, wakulima wanapozalisha mazao bora, wanachangia kwenye usalama wa chakula na mapato ya nchi. Wajasiriamali wanapounda biashara na kuzalisha ajira, wanasaidia kupunguza …

Soma zaidi »

Je, Kila Mtanzania Ana Mchango Gani Katika Ujenzi wa Taifa Letu?

Kwa kujenga uchumi, kuendeleza miundombinu, kukuza sekta za kilimo, viwanda, biashara, na kutoa huduma bora za kijamii, kila Mtanzania ana nafasi na wajibu wa kutoa mchango wake. Kwa mfano, wakulima wanapozalisha mazao bora, wanachangia kwenye usalama wa chakula na mapato ya nchi. Wajasiriamali wanapounda biashara na kuzalisha ajira, wanasaidia kupunguza …

Soma zaidi »

“Tuendelee Kufanya Kazi Na Kuitunza Amani Ya Nchi Yetu.” Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Katiba ya Tanzania, katika Ibara ya 8(1)(a), inatambua kwamba wananchi ndio msingi wa mamlaka yote ya nchi. Hii inamaanisha kuwa amani na utulivu wa nchi ni jukumu la kila mwananchi. Kwa kutunza amani, wananchi wanatimiza wajibu wao wa kikatiba wa kuhakikisha nchi inasalia katika hali ya utulivu na usalama. Katiba …

Soma zaidi »