Demokrasia

Historia ya Chifu Nkosi Mharule Zulu Gama na Mchango wake kwa Maendeleo ya Wangoni, Ruvuma, na Tanzania

Katika historia ya Tanzania, jina la Chifu Nkosi Mharule Zulu Gama lina nafasi ya kipekee, si tu kwa sababu ya uongozi wake wa kidesturi lakini pia kutokana na athari zake kwa jamii ya Wangoni na urithi wa kitamaduni katika mkoa wa Ruvuma. Chifu Nkosi Mharule, aliyekuwa mmoja wa viongozi wa …

Soma zaidi »

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa CHADEMA,John Mnyika wameshiriki kilele cha kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa la Kanisa Katoliki

Kongamano hilo la Kanisa Katoliki limefanyika leo Septemba 15 ,2024 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Soma zaidi »

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN WAKATI WA MKUTANO WA JUKWAA LA USHIRIKIANO FOCAC

Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliohudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mnamo Septemba 5, 2024, jijini Beijing, umeleta fursa muhimu kwa Tanzania kiuchumi na kijamii. Manufaa Kiuchumi: Uwekezaji katika Miundombinu: Kupitia FOCAC, Tanzania imepata fursa ya …

Soma zaidi »

Uzalendo ni msingi wa maendeleo ya taifa letu

“Uzalendo ni msingi wa maendeleo ya taifa letu. Ni lazima kila Mtanzania apende na kuthamini nchi yake kwa vitendo, kwa kuilinda, kuitetea, na kuhakikisha tunaacha alama bora kwa vizazi vijavyo. Kama Watanzania, tunao wajibu wa kuendeleza nchi yetu kwa umoja na mshikamano. Uzalendo si maneno tu, ni vitendo vya kila …

Soma zaidi »

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO CHA VYAMA VYA SIASA WANACHAMA WA TCD.

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, akiongoza Kikao cha Mashauriano cha Vyama vya Siasa Wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ambacho, mbali ya viongozi wa vyama hivyo, pia kilihudhuriwa na mawaziri na manaibu waziri wakiwakilisha upande wa Serikali. Baadhi ya viongozi wakuu wa vyama hivyo walioshiriki …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar wakati akitokea Harare nchini Zimbabwe

Mhe. Rais Dkt. Samia alishiriki Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya hiyo (SADC-Organ Troika)

Soma zaidi »

Rais Samia, Rais aliyeleta mageuzi

Mageuzi yana nafasi muhimu katika kuboresha mifumo ya kiutawala, kiuchumi, na kijamii, kama inavyotamkwa katika Katiba ya Tanzania. Katiba inaelekeza kwamba serikali ina wajibu wa kuhakikisha kuwa rasilimali za taifa zinatumiwa kwa manufaa ya Watanzania wote na kwamba kuna uwazi na uwajibikaji katika utendaji wa shughuli za serikali. Rais Samia …

Soma zaidi »

Rais Samia, Rais Wa Maridhiano

Maridhiano ni mojawapo ya nguzo kuu za demokrasia ambayo imeainishwa katika Katiba ya Tanzania, hususan kwa kuhakikisha kuwa haki na uhuru wa kila raia vinaheshimiwa (Sehemu ya Tatu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977). Rais Samia, kupitia sera ya maridhiano, anajenga msingi wa umoja wa kitaifa kwa …

Soma zaidi »