Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan wakati alipofika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake hapa nchini.
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 10 Januari, 2024 ameongoza kikao cha Kamati ya Uongozi ya IPU kinachojumuisha Wajumbe kutoka nchi 18 Duniani, kilichofanyika kwa njia ya mtandao.
MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
MAJIBU: Swali lililouzizwa kwa Makatibu wakuu wa Vyama juu ya uelewa wao wa falsafa ya Rais Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ya 4R’s (Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/M617uI0me3— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MISWADA YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA SHERIA ZA VYAMA VYA SIASA
Madhumuni muhimu Ya mkutano huu, ni kujadili na kuelewa kwa kina falsafa ya "4R" iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan. "4R" inaashiria Reconciliation (Maridhiano), Reforms (Mageuzi), Regulations (Sheria), na Rebranding (Kuibadilisha Upya). #ImarishaDemokrasia @ikulumawasliano pic.twitter.com/oyISgqPJXb— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamejenga mazingira yanayofaa kwa ushirikiano wa pande zote kufanya kazi pamoja kufikia malengo ya pamoja, kufanya marekebisho ya sheria mbalimbali hivyo kukuza umoja na maendeleo ya pamoja. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/YBqZq7SRwu— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamesaidia katika uponyaji wa kihisia na yameleta ukweli wa kihisia na kiroho. Maridhiano yamesaidia watu au jamii zilizoathiriwa na migogoro kusonga mbele na kupona kutokana na majeraha ya kihisia. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/buHoyHkQO8— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Rais Mhe. DKT SAMIA alianzisha falsafa ya 4R’s Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding ili kudumisha amani, utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii na kiuchumi nchini. Ni vyema zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/cBDKbhEWQU— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Maridhiano yamewezesha kurejesha mahusiano yaliyovunjika. yamejenga daraja la uelewa, imani, na mawasiliano mazuri, hivyo yameimarisha uhusiano kati ya viongozi wa vyama vyote vya Siasa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #BarazaLaVyamaVyaSiasa #KaziIendelee pic.twitter.com/3mRf2AWdyG— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024 Kujenga Jamii Iliyostahimilivu: Kupitia mageuzi, jamii inaweza kujenga uwezo wa kustahimili changamoto za kisiasa, kiuchumi, …
Soma zaidi »