Kitaifa yanafanyika Mkoani Tanga. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibae Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein ndiye mgeni rasmi Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wamehudhuria pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Selikali ya Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania. Fuatilia moja kwa moja …
Soma zaidi »TAARIFA MUHIMU
• Kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu • Inahusu Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupokea taarifa rasmi kutoka kwa Katibu Mtendaji wa SADC kwamba Rais Magufuli ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuia hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Agosti 2018 hdi Agosti 2019. • Pia; …
Soma zaidi »LIVE: JPM APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI
MAKAMU WA RAIS;Elimu inahitajika kuzuia viumbe wageni/vamizi
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni vema kama nchi kujipanga mapema kuhakikisha kwamba viumbe vamizi hawaendelei kushamiri ili kuepusha Taifa kuingia kwenye gharama kubwa za kukabiliana na janga hilo hapo baadaye. “Pamoja na kwamba viumbe hawa ni janga la kiuchumi, kimazingira na kiafya lakini bado halijashughulikiwa kikamilifu hususani …
Soma zaidi »video:#MATAGA – JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT MPYA; Wasafiri Kuongezeka Kwa 400% !!
Ni uwanja wa Ndege wa mkubwa wa Kimataifa unaojengwa pembeni mwa uwanja unaotumika sasa (JNIA Terminal 2) Kwa sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 82! Ujenzi wa uwanja huo unatarajia kukamilika mwezi Mei 2019. Ndio uwanja wa ndege wa kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati. Utakuwa na uwezo …
Soma zaidi »LIVE (online Radio ChanyA+ & TV: RAIS MAGUFULI ANAZINDUA FLYOVER YA ENG. MFUGALE
Pia fuatilia kupitia RADIO, Online radio ya Matokeo ChanyA+ kwa kubofya link ifuatayo; HAPA http://myradiostream.com/mobile/MatokeochanyAtz
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA AfDB NA MABALOZI WAWILI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) nchini Dkt. Alex Mubiru ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kujitambulisha. Makamu wa Rais amesema kuwa AfDB imeahidi kuendelea kushirikiana na …
Soma zaidi »AGIZO LA RAIS MAGUFULI KWA TAKUKURU
• Amuagiza Mkurugenzi Mkuu kuupitia upya muundo wa utendaji wa tasisi hiyo • Ataka Wakuu wa TAKUKURU wa Mikoa na Wilaya wawe na nafasi ya kutolea maamuzi kesi za rushwa zilizo ndani ya eneo lao la kazi bila kuchelewa au kusubiri kibali kutoka Makao Makuu ya taasisi hiyo. kwani #SisiNiTanzaniaMpyA+ …
Soma zaidi »UJANJA UJANJA, UBADHILIFU, RUSHWA & UFUSADI; HAVINA NAFASI AWAMU HII – MKURUGENZI MKUU TAKUKURU
• Awaasa Watanzania kubadilika na kuwa waadilifu, wachapa kazi na Wazalendo. • Wataka waunge mkono juhudi za Rais na serikali katika kujenga na kukuza uchumi wa Taifa. maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA Bofya link ifuatayo kuona video https://vimeo.com/user63874414/review/291051363/6f08a386b4
Soma zaidi »