Daraja la Kigongo–Busisi, maarufu kama Daraja la John Pombe Magufuli, ni mradi mkubwa wa miundombinu unaounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita, Tanzania. Kwa urefu wa kilomita 3.2, daraja hili litakuwa daraja refu zaidi Afrika Mashariki na la sita kwa urefu barani Afrika 🌍. Kabla ya ujenzi wa daraja hili, safari …
Soma zaidi »WAKAZI WA WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHISHWA NA UJIO WA MHE. RAIS, WAAHIDI KUMPIGIA KURA OCTOBA 2025.
Wakazi hao wameeleza hayo kutokana na kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi ya maji, barabara, afya, kilimo na ujenzi wa jengo la utawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli ambalo litatumika kutoa huduma kwa wananchi.Pia, vijana wa Lushoto wanatarajia/waliotimiza miaka 18 wamewasihi vijana wenzao katika maeneo mbalimbali nchini kujiandikisha kwenye daftari …
Soma zaidi »Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu (Asian Infrastructure Investment Bank – AIIB), Bw. Jin Luqun
Wamekutana na kuzungumza kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Afrika, ulioanza (27.01.2025), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo mengine, walijadiliana namna ya kuendeleza ushirikiano wa katika kuboresha miundombinu nchini, ukiwemo Mradi wa …
Soma zaidi »Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kwa usimamizi mzuri wa Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato kilichopo jijini Dodoma
Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe. Japhet Hasunga baada ya kutembelea na kukagua mradi huo pamoja na wajumbe wa kamati hiyo leo tarehe 23 Januari 2025. Hasunga ameitaka TANROADS kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa miundombinu ya kiwanja hicho ili kuweza kukamilika …
Soma zaidi »Jimbo la Nyamagana limepokea zaidi ya Shilingi bilioni 40 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami
Uwekezaji huu umewezesha kuboresha hali ya usafiri na kufanya maeneo mengi kupitika kwa urahisi, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa jimbo hilo. Fedha hizi zimeelekezwa katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mpya na ukarabati wa zile zilizopo, zikiwemo barabara za mitaa na za kuunganisha sehemu …
Soma zaidi »Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kupitia miradi mbalimbali ya kuzalisha umeme. Miradi hiyo inajumuisha matumizi ya vyanzo vya maji, gesi asilia, na nishati jadidifu kama vile upepo na jua. TANESCO imeeleza kuwa maendeleo haya yanalenga kuhakikisha kuwa nchi inakuwa …
Soma zaidi »SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 29.5 KWA MIRADI YA UKARABATI WA BARABARA MKOANI PWANI
Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 29.5 kwa ajili ya kugharamia miradi ya ukarabati na ujenzi wa barabara mkoani Pwani. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage, wakati wa kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika wilayani Kibaha jana. Mhandisi Mwambage alisema …
Soma zaidi »Tunawatakia Watanzania Wote Heri ya Mwaka Mpya 2025 Salamu za heri na mafanikio kwa Watanzania wote. Katika mwaka huu mpya, tunataka kila Mtanzania aendelee kufurahia maendeleo, amani, na mshikamano. Tukiwa na umoja, nguvu na nia ya kujenga taifa letu, tunaamini tutapata mafanikio makubwa zaidi katika sekta zote, ikiwa ni pamoja na elimu, afya, uchumi, na miundombinu
Mwaka 2025 ni fursa nyingine ya kuendelea kujenga taifa lenye neema, lenye kujivunia na lililo na ustawi kwa kila mmoja wetu. Heri ya mwaka mpya kwa Watanzania wote, kwa familia zenu na kwa jamii nzima ya Tanzania. #HeriYaMwakaMpya #MatokeoChanya+ #TanzaniaKwanza
Soma zaidi »Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Daraja la Sukuma lenye urefu wa mita 70 pamoja na barabara unganishi yenye urefu wa kilomita 2.3
Hafla hiyo ilifanyika katika mkoa wa Simiyu, ambapo Waziri Mkuu alisisitiza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ipo imara na imejidhatiti kuhakikisha huduma muhimu za kijamii zinawafikia wananchi wote nchini. Katika hotuba yake, Mheshimiwa Majaliwa aliwahakikishia wananchi kuwa Serikali itaendelea kufanya kazi …
Soma zaidi »UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MWENDOKASI AWAMU YA NNE WAENDELEA KWA KASI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kutekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) awamu ya nne, ikiwa ni juhudi za kuboresha usafiri wa umma jijini Dar es Salaam. Awamu hii inahusisha ujenzi wa njia kuu ya mwendokasi yenye urefu wa kilometa 13.5, inayotoka …
Soma zaidi »