MJI WA SERIKALI

SERIKALI YA TANZANIA YATIA SAINI MKATABA WA HGA NA WAWEKEZAJI WA MRADI WA EACOP.

Na.Vero Ignatus Arusha. Majadiliano ya kutia saini mkataba wa nchi hodhi baina ya Total na Serikali ya Tanzania juu ya utekelezaji wa mradi wa EACOP umefanyika leo Jijini Arusha katika hotel ya Grad melia.  Utiaji wa saini wa makubaliano ya awali ya Afrrika ya mashariki (EACOP )kati ya serikali ya …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI ASHUHUDIA UZINDUZI WA MSIKITI, CHAMWINO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 26 Oktoba, 2020 ameshuhudia uzinduzi wa Msikiti wa Sheikh Abubakar Zubeir Ally uliojengwa Chamwino Mkoani Dodoma kwa gharama ya shilingi Milioni 319.3 zilizotokana na michango ya viongozi, taasisi na watu mbalimbali. Ujenzi wa Msikiti huo ulianza tarehe …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI – WATANZANIA WOTE TUENDELEA KUDUMISHA AMANI AMBAYO NI MUHIMU KWA MAENDELEO YETU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia zawadi ya viatu alivyokabidhiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza Suleiman Mzee (kushoto) baada ya kufungua rasmi kiwanda cha kisasa cha Bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited kabla ya kukifungua rasmi eneo la Karanga mjini …

Soma zaidi »

RAIS DKT. MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM KATIKA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA TUME YA UCHAGUZI NEC NJEDENGWA JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa Begi leye Fomu ya Kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 na Mwenyekiti wa Tume …

Soma zaidi »