Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kushoto) akipata maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya PAPU, Arusha kutoka kwa msimamizi wa ujenzi, Mhandisi Hanington Kagiraki (wa kwanza kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Sekta hiyo, Dkt. Jim Yonazi. …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA VIONGOZI 3 WA MKOA WA ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo. Kwanza, Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na …
Soma zaidi »NHC YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAUZO YA VIWANJA VYAKE MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na watumishi wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kukagua miradi inayoendeshwa na NHC kwenye mkoa wa Arusha jana. Wa pili kulia …
Soma zaidi »DKT. MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI, NAMANGA
Na WAMJW- Arusha. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba. Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya …
Soma zaidi »DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU.
Na WAMJW- ARUSHA Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safi ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta …
Soma zaidi »