Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenani Kihongosi amefanya ziara ya kikazi Kukagua mradi wa Maji wa Bilioni 520 akiambatana na Madiwani wa jiji la Arusha wakiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maximillian Iraghe pamoja na watendaji wa kata katika Jiji la Arusha. Mkuu wa Wilaya amesema kuwa mradi …
Soma zaidi »WAZIRI AWESO AAGIZA KUKAMILISHWA KWA MRADI WA MAJI MABOKWENI
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu wakikagua maendeleo ya ujenzi wa tanki la kuhifadhi maji katika Kijiji cha Mabokweni akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja. Serikali imesema itahakisha miradi ya maji inakamilika kwa …
Soma zaidi »NAIBU WAZIRI WA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI KWIMBA MKOANI MWANZA
Naibu Waziri Maryprisca Mahundi akimtua ndoo mama kichwani katika kijiji cha Mwabaratulu Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba ikiwa ni ishara ya kumalizwa kero ya maji katika Kijiji hicho. Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb)amezindua mradi wa maji Kijiji cha Mwabaratulu Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza ulioghalimu …
Soma zaidi »DAWASA YAKABIDHIWA MRADI MKUBWA KILIMANJARO, AFISA MTENDAJI MKUU ASEMA WANANCHI KUNYWA MAJI NOVEMBA 30
Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wakiwemo wataalamu kutoka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maji wakati akitembelea maeneo mbalimbali kujionea sehemu ya mradi wa maji wa Same -Mwanga -Korogwe uliokua umesimama Wizara ya Maji imekabidhi mradi wa maji wa Same –Mwanga –Korogwe (SMK) kwa Mamlaka …
Soma zaidi »WAZIRI AWESO AMUAGIZA KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI KUTENGUA UTEUZI WA MENEJA WA RUWASA MKOA WA MARA
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga kutengua uteuzi wa Meneja wa Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mara, Mhandisi Sadick Chakka na mwenzake wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Marwa Murasa kwa kushindwa kusimamia vyema …
Soma zaidi »DUWASA YAJIPA SIKU 100 KUPUNGUZA KERO YA UKOSEFU WA MAJI JIJINI DODOMA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ya Mjini Dodoma (DUWASA) imejipa siku 100 za kutatua kero ya maji na hivyo kupunguza adha ya ukosefu wa maji iliyopo kwa wananachi katika maeneo mbalimbali wanayoyahudumia. Akizungumza na waandishi wa habari akiwa katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji …
Soma zaidi »NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATOA SIKU 60 KWA SUMA JKT KUKAMILISHA UJENZI WA TENKI LA MAJI BUIGIRI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji mhandisi Nadhifa Kemikimba ametoa siku 60 kwa mkandarasi SUMA JKT anayejenga tenki la maji katika eneo Buigiri wilayani Chamwino kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo ili wananchi wapate huduma ya maji. Tanki hilo lenye ujazo wa wa lita Milioni 2.5 linajengwa kwa gharama ya Sh Milioni …
Soma zaidi »MHANDISI KUNDO AZINDUA VISIMA 20 VYA MAJI BARIADI
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi akichota Maji kwenye kijiji cha Bubale kilichopo Kata ya Nkololo, Bariadi kabla ya uzinduzi wa visima sita vya maji jimboni humo Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Andrea Mathew ambaye pia ni …
Soma zaidi »DAWASA WATEKELEZA AGIZO LA RAIS DKT. MAGUFULI LA KUFIKISHA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA JIMBO LA UKONGA, KIFURU NA SEGEREA
Kufuatia agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka Mamlaka ya Maji safi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA) kufikisha huduma ya Maji safi kwa wakazi wa Jimbo la Ukonga na Segerea kabla ya Disemba 25 Mwaka huu, hatimae DAWASA wametekeleza agizo hilo. Mapema leo Waziri wa Maji Jumaa Aweso …
Soma zaidi »SHIDA YA MAJI KIBINDU KUWA HISTORIA – MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE
Mbunge wa Chalinze Ndg. Ridhiwani Kikwete amewahakikishia wananchi wa Kata ya Kibindu kuwa shida ya maji itabaki kuwa historia, akiongea mbele ya wananchi wa Kijiji cha Kwamduma, kata ya Kibindu Mh.Mbunge alimshukuru Mheshimiwa Rais na Serikali kwa hatua zinazochukuliwa kupata ufumbuzi wa shida ya maji katika kata hiyo. Maneno hayo …
Soma zaidi »