Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia) akiongea na baadhi ya wataalamu baada ya kuona ujenzi wa tenki la maji katika mradi wa P4R katika kata ya Mtowisa Wananchi wa vijiji vya Ng’ongo na Mtowisa katika Kata ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga, Mkoani Rukwa wameishukuru serikali ya awamu ya …
Soma zaidi »WAKAZI 58,821 KUNUFAIKA NA HUDUMA YA MAJI MKOANI IRINGA
Ukaguzi ukiendelea ujenzi wa tanki la kuifadhia maji Wakazi 58,821 wa tarafa za Ismani na Kilolo katika Halmashauri za Wilaya za Iringa na Kilolo kwa pamoja wanatarajia kunufaika na huduma ya majisafi na salama pindi Mradi wa Maji Ismani-Kilolo utakapokamilika mwezi Juni, 2021. Mradi huo unaotekelezwa kwa kutumia wataalam wa …
Soma zaidi »RAIS DKT. MAGUFULI AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI WA KIBAMBA – KISARAWE MKOANI PWANI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa ili kuzindua mradi mkubwa wa maji wa Kibamba-Kisarawe katika sherehe zilizofanyika Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani leo tarehe 28 Juni 2020. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa …
Soma zaidi »WIZARA YA MAJI KUFANYA UTAFITI NA USANIFU WA MRADI MKUBWA MAJI KUTOKA ZIWA VICKTORIA KUPELEKA JIJINI DODOMA
Wizara ya Maji inatarajia kufanya utafiti mkubwa na usanifu wa mradi mkubwa wa maji wa kuchukua maji kutoka ziwa vicktoria kupeleka Mkoani Dodoma kwa kupitia Mkoani Singida katika mwaka wa fedha wa 2020/2021. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Prof.Kitila Mkumbo alitoa kauli hiyo kwenye hafla ya kupokea mabomba ya …
Soma zaidi »UFARANSA YAIPATIA SERIKALI MKOPO NAFUU WA EURO MILIONI 70 KUJENGA MRADI WA MAJI MJINI MOROGORO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (kushoto) na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) Bi. Stephanie Mouen Essombe, wakibadilishana hati za Mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70 (Sh. za Tanzania bilioni 175.6) kwa ajili ya kugharamia mradi wa Maji …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama kwa dakika moja pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri ili kumkumbuka na kumuombea aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Balozi Augustine Mahiga …
Soma zaidi »MRADI WA MAJI WA BIL 9.4 KYAKA – BUNAZI WASAINIWA
Mhandisi Mradi wa Kampuni ya CCECC, Mhandisi He Jun (kushoto) akizungumza jambo wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji wa Kyaka-Bunazi. Wengine ni watendaji kutoka MWAUWASA. Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA) imesaini mkataba na Mkandarasi Kampuni ya China …
Soma zaidi »WANANCHI JIMBO LA MTERA WANUFAIKA NA MRADI WA MAJISAFI NA SALAMA
Serikali imepongezwa kwa kuwezesha wananchi kufikiwa na huduma ya majisafi na salama baada ya miaka zaidi ya hamsini bila kuwepo kwa huduma hiyo katika eneo lao. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso mwishoni mwa wiki wakati akizindua mradi wa maji katika jijiji cha Makang’a, jimbo la Mtera …
Soma zaidi »MIRADI YA MAJI 547 INATEKELEZWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI – PROF MBARAWA
Jumla ya miradi ya maji 547 inaendelea kutekelzwa nchini yenye thamani ya shilingi trilion 3.76, miradi hiyo ambayo imegawanyika katika makundi mawili ambapo ipo miradi inayotekelezwa mjini na mingine vijijini. Hayo yamesema na Waziri wa Maji na Umwangiliaji Prof. Makame Mbarawa wakati akizungumza kuhusu miaka minne ya serikali madarakani ambapo …
Soma zaidi »WAKAZI WA KIGWA KUPATA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWA GHARAMA YA BILIONI 10
Serikali imeamua kupeleka maji katika Kata ya Kigwa wilayani Uyui kupitia mradi wa ujenzi wa bomba la maji kutoka Ziwa Victoria kwa gharama isiyopungua shilingi bilioni 10. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa baada ya kusikia kilio cha wakazi wa Kigwa cha tatizo la maji …
Soma zaidi »