MRADI WA MAJI WA CHALINZE KUKAMILIKA APRILI 2020
RC HOMERA AZINDUA MRADI WA MAJI CHAMALENDI, KATAVI
Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Zuberi Homera tarehe 11.07.2019 amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Chamalendi kata ya Chamalendi Halmashauri ya wilaya ya Mpimbwe wilayani Mlele. Mradi huo wenye thamani ya Tsh 402,600,000/= umeshuhudiwa na wananchi wa eneo hilo ambapo mradi huu utahudumia wananchi zaidi ya 10,000 Katika …
Soma zaidi »WAKAZI WA NGURUKA MKOANI KIGOMA WAANZA KUFURAHIA HUDUMA YA MAJISAFI NA SALAMA
SHILINGI BILIONI 600 KUONDOA TATIZO LA UPATIKANAJI MAJI SAFI NA SALAMA TABORA
Manispaa ya Tabora itaanza kupata maji safi na salama wakati wote baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji toka Ziwa Victoria utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 600. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Tabora (TUWASA), Mhandisi Mkama Bwire ameeleza hayo kwa Maafisa …
Soma zaidi »SERIKALI YAIKABIDHI MWAUWASA UJENZI WA MRADI WA MAJI KWIMBA
Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa amekabidhi ujenzi wa mradi wa maji wa Shilima Wilayani Kwimba kwa Mamlaka ya Maji Mwanza (MWAUWASA) baada ya Mkandarasi Kampuni ya Palemon Construction Ltd ya Mwanza kushindwa kukamilisha kwa wakati. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni katika Kijiji cha Shilima na kushuhudiwa na watendaji mbalimbali …
Soma zaidi »BILIONI 114.1 KUWAPA NEEMA YA MAJI SAFI NA SALAMA WAKAZI WA DAR NA PWANI
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) wametia saini mikataba wa miradi mikubwa sita ya usambazaji maji kwa mkoa wa Dar es Salaam na Pwani wenye thamani ya Bilion 114.5. Utiaji huo wa saini umefanyika leo Julai 2, 2019 katika ofisi za Mamlaka hiyo huku ukishuhudiwa na Waziri …
Soma zaidi »NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATEMBELEA ENEO LA MRADI WA MAJI WA SAME-MWANGA NA KOROGWE
MRADI WA MFUMO WA KUTIBU MAJI UMEFIKIA ASILIMIA 80 MKOANI GEITA
MRADI WA MAJI LAMADI WAFIKIA HATUA ZA MWISHO
Serikali imesema imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa maji wa Lamadi uliopo Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu ambao utekelezaji wake umefikia asilimia 93. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo alisema hayo hivi karibuni wakati wa ziara yake kwenye mradi huo. Katika ziara hiyo Mhandisi Kalobelo …
Soma zaidi »