WIZARA YA VIWANDA

UWASILISHWAJI WA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA TBS KWA KAMATI YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Dkt. Yusuph Ngenya akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya TBS kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Bungeni Dodoma, Januari 25,2021. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe akijibu hoja mbalimbali zinazohusu Shirika la Viwango …

Soma zaidi »

WAZIRI MWAMBE AWATAKA WATUMISHI WA BARAZA LA USHINDANI (FCT) KUFANYA KAZI KWA WELEDI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb) aliwasihi  wafanyabiashara kuwasilisha rufaa zao iwapo hawakuridhika na maamuzi yanayotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (EWURA, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri na Usalamawa Anga (TCAA), Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi kavu LATRA, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania …

Soma zaidi »

SIMBACHAWENE: ASKARI WATAKAOSHINDWA KUWABAINI WAHAMIAJI HARAMU NCHINI ‘NITAFAGIA’

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza wakati akifungua mafunzo ya uongozi kwa maafisa na askari wa uhamiaji  katika kambi mpya ya Boma Kichaka Miba, iliyopo Wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga. Amesema askari watakaoshindwa kuwabaini Wahamiaji haramu hususani maeneo ya mipakani wanapoingilia watawajibishwa. Kulia ni Mkuu wa …

Soma zaidi »

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MWAMBE AMEIAGIZA EPZA KUJIKITA KATIKA UJENZI WA MAENEO MAPYA YA VIWANDA KULINGANA NA BIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb) akiongea na menejimenti na watumishi wa EPZA alipofanya ziara akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa Wizara ya Viwanda na Biashara Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe …

Soma zaidi »

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMEWATAKA WATUMISHI WA TBS NA WMA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe wakuwa wameambatana na Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt. Athuman Ngenya wakipokea maelezo kutoka Mkuu wa maabara ya kemia, Florian Bataganwa wakati wakikagua maabara za Shirika la Viwango Tanzania …

Soma zaidi »

GEOFREY MWAMBE, WAZIRI MTEULE WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

Waziri mteule wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Mbunge wa Masasi, Mhe. Goodfrey Mwambe (shati ya bluu bahali) akipata maelezo ya bidhaa za vifungashio zinachozalishwa hapa nchini wakati alipotembelea Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yaliyoanza tarehe 3 -9 Desemba, 2020 kwenye Uwanja wa Maonesho wa …

Soma zaidi »

HAKIKISHENI BIDHAA BANDIA HAZIINGI NCHINI -WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka zote za udhibiti zihakikishe kuwa bidhaa zinazoingizwa nchini kwa ajili maonesho mbalimbali zinakuwa na viwango vya kimataifa na pia bidhaa zisizo na viwango na bidhaa bandia hazipati nafasi ya kuingia kwenye soko la Tanzania. Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka wamiliki wa viwanda wazalishe bidhaa …

Soma zaidi »

PROF. SHEMDOE AILEKEZA TANTRADE KUANDAA MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA KILA ROBO YA MWAKA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Riziki Shemdoe akitoa maelezo ya ufafanuzi muda mchache baada ya ufunguzi wa kongamano la biashara kati ya taasisi za Serikali pamoja na wamiliki wa viwanda nchini,  05 Desemba 2020 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K Nyerere – Dar es Salaam. …

Soma zaidi »

MAONESHO YA TANO YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA KUFANYIKA KUANZIA TAREHE 3 – 9 DISEMBA 2020

Dar es Salaam Wizara ya Viwanda,na Biashara kupitia taasisi yake ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yatakayoanza tarehe 3 hadi 9 Desemba, 2020. Uanzishwaji wa Maonesho haya yalilenga kuhakikisha Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda unakuwa …

Soma zaidi »