Maktaba Kiungo: Dodoma inajengwa

NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU AMPA MKANDARASI SIKU 30 KUKAMILISHA JENGO LA MALIASILI NA UTALII DODOMA

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe .Constantine Kanyasu ametoa siku 30 kwa mkandarasi wa SUMA JKT, aliyepewa kazi ya kujenga jengo la ofisi ya wizara hiyo katika mji wa serikali eneo la Ihumwa, Jijini Dodoma, kuhakikisha jengo hilo linakamilika ndani ya siku hizo alizopewa Amemshauri Mkandarasi huyo kufanya kazi …

Soma zaidi »

DODOMA: Ujenzi wa stendi kubwa, MpyA ya Dodoma waanza.

• Ujenzi unagharimu Tsh. Bilioni 35.4 • Ujenzi unatarajiwa kuchukua miezi 15 • Stendi hiyo itakabidhiwa kwa serikali tayari kwa matumizi mwezi Septemba 2019 Bilioni 77 za Mradi wa Tscp zatekeleza Agizo Rais JPM Jijini Dodoma. Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI. Mradi wa Mpango Miji Mkakati ‘Tanzania Strategic Cities Project’ maarufu kama …

Soma zaidi »