Maktaba Kiungo: JAJI MKUU

WIZARA YAZINDUA USHIRIKIANO MAMLAKA KUU SEKTA YA SHERIA

Wizara ya katiba na Sheria imezindua ushirikiano wa Mamlaka Kuu za Sheria nchini zitakazokaa pamoja kubainisha uwezo na changamoto zinazoikabili sekta ya sheria nchini na kuzifanyia kazi ili kuongeza ufanisi wa sekta hiyo na hivyo kutoa mchango stahiki kwa taifa. Ushirikiano huo umezinduliwa jijini Dar es Salaam na Waziri wa …

Soma zaidi »