Maktaba Kiungo: NEC

WAZIRI MHAGAMA ARIDHISHWA NA HATUA ZA UJENZI WA JENGO LA NEC DODOMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama ametembelea na kukagua hatua ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zilizopo eneo la Njedenwa Jijini Dodoma na kusema ameridhishwa na hatua …

Soma zaidi »

NEC: Imetangaza uchaguzi mdogo katika kata 37 za Tanzania bara zilizopo katika Halmashauri 27 nchini.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata 37 za Tanzania bara zilizopo katika Halmashauri 27 nchini, ikieleza kuwa uchaguzi huo utafanyika Oktoba 13, 2018 Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage amesema hapo jana kuwa fomu za uteuzi wa wagombea katika uchaguzi huo zitatolewa kati ya Septemba …

Soma zaidi »