Maktaba Kiungo: Rais Magufuli Serengeti

BENKI YA DUNIA IMERIDHIA KUTOA DOLA ZA MAREKANI MILION 300

Benki ya Dunia imeridhia kutoa Dola za Marekani Milioni 300 sawa na shilingi Bilioni 680.5 kwa Tanzania kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa kuongeza ubora wa elimu ya sekondari unaokusudiwa kujenga vyumba vya madarasa, mabweni, maabara, nyumba za watumishi na kununua vifaa vya kufundishia. Makamu wa Rais wa Benki …

Soma zaidi »