Maktaba Kiungo: UCHAGUZI

SERIKALI YAONYA WATOAJI NA WAPOKEA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2019

Serikali imeonya kuwa haitakuwa na msalie mtume na mtu,chama cha siasa ama kikundi chochote kitakachojihusisha na rushwa kabla,wakati na baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka huu 2019 pamoja na Uchaguzi mkuu wa 2020. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki …

Soma zaidi »