Maktaba Kiungo: Uchumi

UTEKELEZAJI WA MRADI WA REA III WILAYANI IGUNGA

  Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu ameliagiza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kuongeza ukubwa wa transifoma kutoka 100kV hadi kufikia 200kV katika kijiji cha Mwamashimba wilayani Igunga mkoani Tabora kutoka mahitaji makubwa ya umeme. Mgalu alitoa maagizo hayo wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa usambazaji na …

Soma zaidi »

MABENKI YETU, SASA TAMBUENI MADINI KAMA DHAMANA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO – WAZIRI MKUU

“Mabenki yetu anzisheni utaratibu wa kuweka.. dhamana, kuweka madini ya wananchi.. nunueni dhahabu. Nunueni dhahabu; Ili hawa wananchi badala ya kuhangaika kwenda kwenye minada amabapo wanalaliwa laliwa, aende benki ahifadhi kule.” – Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa “Badala ya kuleta fedha eweke madini yake.. atakuja kuyachukua mwakani nayo yatakuwa yameongezeka thamani. …

Soma zaidi »

video:#MATAGA – JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT MPYA; Wasafiri Kuongezeka Kwa 400% !!

Ni uwanja wa Ndege wa mkubwa wa Kimataifa unaojengwa pembeni mwa uwanja unaotumika sasa (JNIA Terminal 2) Kwa sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 82! Ujenzi wa uwanja huo unatarajia kukamilika mwezi Mei 2019. Ndio uwanja wa ndege wa kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati. Utakuwa na uwezo …

Soma zaidi »

UJANJA UJANJA, UBADHILIFU, RUSHWA & UFUSADI; HAVINA NAFASI AWAMU HII – MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

• Awaasa Watanzania kubadilika na kuwa waadilifu, wachapa kazi na Wazalendo. • Wataka waunge mkono juhudi za Rais na serikali katika kujenga na kukuza uchumi wa Taifa. maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA Bofya link ifuatayo kuona video https://vimeo.com/user63874414/review/291051363/6f08a386b4

Soma zaidi »

#TupoVizuri; Utandikaji Reli SGR Waanza Rasmi!

• Kwa siku chache zijazo km 55 zitakuwa tayari zimekamilika kutandikwa reli ya kisasa – SGR. • Waziri wa Mawasiliano, Ujenzi na Uchukuzi Eng. Isack Kamwele azindua zoezi hilo rasmi. • Kasi ya ujenzi yawa kubwa huku ari ya utendaji wa wafanyakazi ikingezeka maradufu. hakika maendeleo yanaonekana… maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye …

Soma zaidi »

MAGARI YARUHUSIWA RASMI KUTUMIA FYLOVER YA TAZARA

Daladala na magari mengine kutoka Posta kuelekea Airport yapita upande wake bila kusimama na hata yale yanayotoka Airport kuelekea Posta nayo yanapita bila kusubiri kuongozwa na taa. Magari yanayotumia barabara ya Mandela ndiyo pekee yanaongozwa na taa za kisasa zilizofungwa katika kuta nzito za sehemu ya katikati ya flyover hiyo. …

Soma zaidi »