Maktaba Kiungo: Wananchi

#MATAGA WIZARA YA MAJI; HADI SASA VITUO 123,888 VYA KUCHOTEA MAJI VIMEJENGWA KATIKA VIJIJI NCHINI!

Maji ni rasilimali muhimu kwa ustawi wa jamii na maendeleo ya kiuchumi. Tanzania inakadiriwa kuwa na rasilimali za maji juu ya ardhi zenye kilomita za ujazo 92.27 na chini ya ardhi kilomita za ujazo 38. Utunzaji na uendelezaji wa rasilimali hizo unasimamiwa na miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali ikiwa ni …

Soma zaidi »

LIVE: MAADHIMISHO YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Kitaifa yanafanyika Mkoani Tanga. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibae Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein ndiye mgeni rasmi Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wamehudhuria pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Selikali ya Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania.   Fuatilia moja kwa moja …

Soma zaidi »

WANANCHI WAONYWA KUACHA KUFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI NDANI YA ENEO LINALOJENGWA SGR!

Ni ndani ya mita 30 kila upande wa mradi wa SGR Jeshi la Polisi lakamata baadhi na kupiga marufuku kwa mtu yeyote kufanya shughuli za kiuchumi ndani eneo la mradi wa reli ya kisasa ya umeme (Standard Gauge Ralway) Hairuhusiwi kwa yeyote kupita au kutumia kwa wakati wote njia zinazotumiwa …

Soma zaidi »

NACHINGWEA YATANGAZA UZINDUZI WA MSIMU WA UUZAJI KOROSHO 2018/2019

Pamoja na uzinduzi huo, Mhe. Rukia ameendelea kuunga mkono wito wa serikali kwa kukaribisha wawekezaji wa viwanda vya kubangua korosho wilaya humo ili wakulima wanufaike zaidi na kuongeza thamani ya zao hilo sambamba ya ajira kwa wakulima na watakao ajiriwa katika viwanda vhivyo. Tarehe ya Uzinduzi 13/10/2018 siku ya Jumamosi …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS;Elimu inahitajika kuzuia viumbe wageni/vamizi

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni vema kama nchi kujipanga mapema kuhakikisha kwamba viumbe vamizi hawaendelei kushamiri ili kuepusha Taifa kuingia kwenye gharama kubwa za kukabiliana na janga hilo hapo baadaye. “Pamoja na kwamba viumbe hawa ni janga la kiuchumi, kimazingira na kiafya lakini bado halijashughulikiwa kikamilifu hususani …

Soma zaidi »

video:#MATAGA – JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT MPYA; Wasafiri Kuongezeka Kwa 400% !!

Ni uwanja wa Ndege wa mkubwa wa Kimataifa unaojengwa pembeni mwa uwanja unaotumika sasa (JNIA Terminal 2) Kwa sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 82! Ujenzi wa uwanja huo unatarajia kukamilika mwezi Mei 2019. Ndio uwanja wa ndege wa kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati. Utakuwa na uwezo …

Soma zaidi »