Maktaba Kiungo: WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI

RAIS DKT MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KATIKA HAFLA ILIYOFANYIKA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Febuari, 2020 amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni ikiwemo  Makatibu Wakuu, Naibu Katibu Mkuu, Makatibu Tawala wa mikoa, Kamishina Jenerali wa Magereza na Kamishna Jenerali wa zimamoto na uokoaji, Kamishina wa ardhi Wizara ya Ardhi,Nyumba …

Soma zaidi »

LIVE: HAFLA YA UAPISHO WA VIONGOZI WATEULE – IKULU DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 03 Febuari, 2020 anawaapisha viongozi wateule wafuatao A. MAKATIBU WAKUU 1. Bi. MARY GASPER MAKONDO – kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mary Gasper Makondo alikuwa …

Soma zaidi »

NENDENI MKACHAPE KAZI KWA UADILIFU NA KUTANGULIZA MASLAHI YA TANZANIA – RAIS MAGUFULI

Rais  Dkt. John Pombe Magufuli  tarehe 27 Januari, 2020 amewaapisha Mawaziri 2 na Mabalozi 3 aliowateua hivi Karibuni. Mawaziri walioapishwa ni George Boniface Mwataguluvala Simbachawene aliyeapishwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na  Mussa Azzan Zungu aliyeapishwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na …

Soma zaidi »

MABORESHO YA MFUMO WA HAKI JINAI YAHAKIKISHE WANANCHI WANAPATA HAKI – LUGOLA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola amekitembelea  kikosi kazi kinachopitia mfumo wa haki jinai nchini ili kuufanyia maboresho na kukitaka kuangalia kwa umakini maeneo yote ambayo yamekuwa changamoto na kuwafanya wananchi kukosa haki zao. Mhe. Lugola ametoa kauli hiyo alipotembelea kambi maalum ya wataalamu wa serikali …

Soma zaidi »

RC NDIKILO ARIDHISHWA NA UJENZI WA NYUMBA 42 ZA ASKARI MKOANI PWANI AMBAZO ZITAGHARIMU SH.BIL. MOJA

Mwnyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo, ameridhishwa na ujenzi wa nyumba 42 za askari ambazo zipo kwenye hatua ya umaliziaji kwa kanda maalum ya kipolisi Rufiji na jeshi la polisi mkoani Pwani ambazo zitagharimu sh. bilioni moja. Aidha amewaasa wadau kushiriki kusaidia ujenzi wa …

Soma zaidi »

WAZIRI LUGOLA AFANYA ZIARA TERMINAL III KUKAGUA JESHI LA POLISI,UHAMIAJI NA ZIMAMOTO

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola leo Jumapili Juni 9, 2019 amefanya ziara katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere-JNIA (Terminal III), jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuvikagua vyombo vyake (Jeshi la Polisi, Zimamoto na Uhamiaji), kabla ya Jengo jipya la uwanja …

Soma zaidi »