Maktaba Kiungo: WIZARA YA AFYA

HOSPITAL YA TAIFA MUHIMBILI WAANZA ZOEZI LA KUPANDIKIZA VIFAA VYA USIKIVU KWA WATOTO

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH),leo  Novemba 12, 2018 wameanza zoezi upasuaji wa kupandikiza vifaa vya usikivu kwa watoto 10 ambao wana matatizo ya kusikia baada ya kukamilika kwa maandalizi, mwisho zoezi hilo linafanyika hadi  hadi November 16, 2018. Watoto hao watapandikizwa vifaa vya usikivu baada ya wataalam kuwafanyia uchunguzi wa …

Soma zaidi »