Serikali imetakiwa kuweka utaratibu utakaowezesha taasisi za Umma na watu binafsi, kuacha kuagiza kadi za kielektroniki nje ya nchi na badala yake watumie zinazozalishwa nchini ili kujenga uchumi wa viwanda.Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martine Shigella, alitoa pendekezo hilo wakati alipotembea kiwanda kipya cha kuzalisha vocha na kadi mbalimbali kinachojulikana …
Soma zaidi »Waziri Mkuu
May, 2020
-
15 May
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha Megawati 2,115 na amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka asimamie mradi huo ili ukamilike kwa wakati. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati …
Soma zaidi » -
15 May
WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700. “Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi …
Soma zaidi » -
15 May
WAZIRI JAFO AFUNGUA KITUO CHA AFYA SUNYA, KITETO MKOANI MANYARA
Na. Majid Abdulkarim , Kiteto Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo amewataka wataalam wa afya kujipanga vema katika kutoa huduma nzuri kwa wananchi ili kutimiza adhima ya Mhe.Rais ya kuwatumikia watanzania. Kauli hiyo ameitoa leo wakati wa ufunguzi wa kituo cha afya cha …
Soma zaidi » -
15 May
TANI 20,000 ZA SUKARI ZIMESHUSHWA MWANZA – WAZIRI BASHUNGWA
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kwa wauzaji kuzingazitia bei elekezi. Mhe.Bashungwa ameyasema hayo Tarehe 14 mai 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari …
Soma zaidi » -
14 May
WAZIRI BASHUNGWA – WAMILIKI WA VIWANDA ZALISHENI VIFAA KINGA VYA KUTOSHA KUKABILIANA NA CORONA
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akiongea katika kikao hicho kilichowakutanisha wamiliki wa viwanda vya vifaa kinga ambapo amewapongeza wamiliki wa viwanda vya dawa,vifaa na vifaa tiba kuzalisha vifaa kinga Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Innocent Bashungwa Pamoja na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee …
Soma zaidi » -
13 May
TANESCO KUTUMIA BIL.1.2 KUBORESHA UMEME KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa serikali imetenga shilingi za kitanzania Bilioni 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme utakaokuwa ukitumiwa na kiwanda cha sukari peke yake, katika kuendesha shughuli za uzalishaji. Amesema hayao alipotembelea kiwanda cha Sukari Mtibwa, ambapo amesema kuwa njia hiyo ya …
Soma zaidi »
October, 2019
-
18 October
NEEMA YA GESI ASILIA YANUKIA MIKOANI
Wizara ya Nishati (Tanzania) na Shirika la Maendeleo la Japani (JICA), Oktoba 17, 2019 walikutana katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma na kujadili Mkakati wa kufikisha gesi asilia katika mikoa mbalimbali nchini. Kikao hicho, kilichoongozwa na Kamishna wa Petroli na Gesi, Adam Zuberi, kilihudhuriwa pia …
Soma zaidi »
November, 2018
September, 2018
-
24 September
LATE LIVE: WAZIRI MKUU AKIZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI KISHA WANANCHI WA UKARA
Aelezea agizo la Mhe. Rais kuhusu kutangazwa kwa tenda ya haraka sana kujengwa kwa kivuko kikubwa kitakachokuwa kikitoa huduma eneo la Ukara Azungumza na wanachi na kuwasihi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba. Awaahidi kuwa rambirambi zote zinazokusanywa na serikali, zitakuwa za wafiwa na kiasi kidogo kuwa sehemu …
Soma zaidi » -
23 September
MV Nyerere: Mazishi ya baadhi ya waliofariki yafanyika
Katika kipindi hiki serikali italeta kivuko cha muda ili wananchi kutumia kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa leo na waziri mkuu Kassim Majaliwa wakati akiongoza mazishi. Waziri mkuu amesema ni msiba mkubwa ulioipata nchi. Ibada ya mazishi imeambatana na dua kutoka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu na Kikristo.
Soma zaidi » -
23 September
Jumla ya miili 224 imeopolewa hadi sasa mkasa wa MV Nyerere
Serikali itaunda tume ya uchunguzi itakayohusisha timu ya wataalamu na vyombo ya dola, kuhakikisha chanzo cha ajali kinatambulika. Jumla ya miili 224 imeopolewa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa uchukuzi mhandisi Isack Kamwelwe. Maafisa wote wanaohusika na uendeshaji wa kivuko wamekamatwa na wanahojiwa kwa uchunguzi. Mazishi yataendelea kufanyika …
Soma zaidi » -
5 September
LIVE Radio ChanyA+
Radio ChanyA LIVE Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Anazungumza Na Wananchi Katika Uwanja Wa Mkendo. Leo Tarehe 5 Septemba 2018.
Soma zaidi » -
5 September
Live: Rais Magufuli Atembelea Shule Aliyosoma Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere – Tarehe 5 Septemba 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Anazungumza na Wananchi Leo Tarehe 5 Septemba 2018. Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya …
Soma zaidi »