Maktaba ya Kila Siku: June 22, 2024

“Amani Iliyopo Tanzania Itumike Kuleta Soko la Madini Afrika Nchini Tanzania, kwa Uchumi Imara”.

“Wachimbaji wadogo wanafanya shughuli za uchimbaji kwa kubahatisha na matokeo yake wanatumia muda mwingi na nguvu kubwa na kuambulia kidogo tu kwa hiyo Wizara ya madini inabidi iongeze wigo katika namna bora ya uchimbaji wa madini.” Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma zaidi »