Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika ufunguzi wa Skuli ya Msingi ya Elimu Mjumuisho Jendele iliyopo Wilaya ya Kati, Unguja ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa ziarani nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa ziarani nchini Tanzania.
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam akitokea Davos nchini Uswisi ambapo alimwakilisha Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakishiriki Ibada ya Mwaka Mpya katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma tarehe 01 Januari 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zurich nchini Uswisi ambapo anatarajia kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF)
MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA BALOZI WA TZ NCHINI AUSTRIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Balozi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria Balozi Celestine Mushy,mara baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 21 Machi 2022. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MABALOZI SABA IKULU DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor akizungumza na Mabalozi saba wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Rwanda, Sweden, Uturuki, Korea Kusini, Uswisi, India na Ethiopia wakati mabalozi hao walipofika kumuaga Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. Oktoba 1, 2021. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MAKAMU WA BENKI YA DUNIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Septemba 28 , 2021. Makamu wa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango hii leo Septamba 28, 2021 …
Soma zaidi »